Latest Post



Herpes Zoster: Symptoms, Causes and Treatment

Aloe Vera - The best natural home remedy for people with shingles or Herpes Zoster skin disease

Shingles or Herpes Zoster

I don't know if you have encountered this before but this is the same virus that causes chicken pox when we were young and when it

comes back then you may call it shingles. They usually occur to older people or people who under went surgery and had low immune

system. It occurs to my brother when he had Gastritis and his resistance was so weak.

I'll tell you that having this one its no joke and it really gives you a stabbing, tinkling, and itching feeling. Its viral quality moves on the

infected nerve and if not treated this will get worser day after day. Doctors may prescribed you antiviral capsules like valtrex which is

costly depending on the dosage like 6 capsules everyday that he discontinued taking it after he found out that Aloe Vera leaves can cure it.

Here's my story of my brother's encounter of shingles healed by Aloe Vera leaves in just a few days. He first notice it as a rash on his

waist. He didn't mind it and he was thinking it would eventually heal by itself. Day after day its getting bigger and worst and its filled with

liquid inside of it. Now he got worried and so he take action by searching it on google and for hours of searching he found it and it

matches to the description and images. This is definitely it and to confirm it, He went to the dermatologist then she confirm as herpes

zoster or shingles. She prescribed him antiviral medicine which he should take 6 capsules a day. Since he still do not know other

alternatives so he bought 6 capsules for a day. When he got home he immediately search the internet of other remedies of this then he

found Lemon Balm but unfortunately it is not available in his country and that you have to order it online and It would take more days to arrive.

Since Lemon Balm is impossible to achieve but he did not lose any hope so he dig again for alternatives then he came across to a

website made by a fellow Filipino. He stumbled on the site calledPhilippineHerbalMedicine.Org he found different native herbal plants like

ginger,gummamela, garlic and many more amazing herbs. He continue reading on that site and then found Aloe Vera and its

amazing medicinal qualities and the important thing he found is its Antiviral, Antifungal, Antiparasitic and Antibiotic qualities. Next

thing he did is he search the internet about Aloe Vera and read some healing miracle on Shingles. Many testimonials confirm that

Aloe Veradoes heal Shingles and he was convinced to take Aloe Vera to treat his Shingles.

He phone his friends, relatives and co workers to bring some Aloe Vera leaves and they ask why but he said this is what he need to cure

his Shingles. He did not buy anymore those antiviral tablets because one it is very expensive and two it really dries up his lips and feel

so dehydrated because of the drug's side effects. So the next day his friends came and brought him some Aloe Vera leaves and

immediately he peel off the green covering and expose only the gel and sticky fluid. He started applying it on the infected area in a

circular motion every hour or every time it dries up. Amazingly for just 5 days he notice changes on his shingles and it started to change

its color to brownish and the inflammation was gone. Seven days after continually applying Aloe Vera, his shingles turns to black and it

never had a pus on it as what the doctor said to him that It would produce pus in a few days but it never occur.

Ten days later, it started to peel off like an old skin going off. He was definitely impress by Aloe Vera and its effective healing quality

Baada ya kujifungua, baadhi ya akina mama hutoa maziwa kidogo sana kwa ajili ya watoto wao na wengine hukosa kabisa maziwa.
Hali hii huleta changamoto kubwa kwani mtoto huanza kulia sana na wakati mwingine kuishiwa maji mwilini na kuchemka.
Kitaalamu baada ya kujifungua homoni nyingi za uzazi zinapungua kisha homoni zingine kwa ajili ya uzalishaji wa maziwa kitaalamu kama prolactin hutengenezwa, sasa kuchelewa kwa kwa hatua hii kunaweza kuleta shida hii.


mambo gani unaweza kufanya kutibu tatizo hili?
usiishiwe na maji mwilini: hakikisha unakunywa maji ya kutosha angalau glass nane kwa siku ili kuongeza kiasi cha maji mwilini mwako.
kumbuka maziwa yako kwenye mfumo wa kimiminika hivyo maji mengi yanahitajika kuyatoa.
kula mlo kamili; ungeza ulaji wako wa zamani kwa zaidi kidogo, vyakula vya protini kama mayai, nyama,maziwa nay ng'ombe samaki na mboga za majani husaidia sana sana kuzalisha maziwa ya kutosha ambayo yanaweza kukidhi mahitaji ya mtoto.
tumia virutubisho; taasisi  nyingi za kiafya zinashauri matumizi ya madini ya clacium, vitamin D, Iron, na folic acid kama kiungo muhimu sana katika kumuandaa mama kuzalisha maziwa mengi na yenye virutubisho vya kutosha ndani yake.
nyonyesha mara kwa mara; hata kama maziwa ni kidogo sana jitahidi kumnyonyesha mtoto mara nyingi sana iwezekanavyo yaani mara 10 mpaka 12 ndani ya saa 24 au kila anapohitahi na hii itasaidia sana kutengeneza homoni ya oxytocin ambayo husaidia sana kutengeneza maziwa.
nyonyesha ziwa moja moja; ukimpa mtoto ziwa moja mpaka maziwa yakaaisha kabisa, taarifa hutumwa kwenye ubongo kwamba maziwa yameisha kabisa hivyo ziwa lingine litajazwa maziwa haraka wakati mtoto anamalizia kunyonya ziwa lingine.
matumizi ya dawa; wakati mwingine baadhi ya dawa hutumika hasa pale kiwango cha homoni inayohusika na maziwa inapoenekana iko chini sana na haiwezi kuongeza kiwango cha maziwa.
dawa ya dompiredone huweza kutumika kwa dozi ya 10mg kutwa mara nne na kuongeza mpaka kiwango cha mwisho cha 20mg kutwa mara nne.
Mama anaweza kupunguza dozi na kuacha kabisa kama maziwa yakipatikana, ila ikitokea maziwa yanapungua tena basi ataanza dozi na kuendelea nayo mpaka atakapomuanzishia mtoto vyakula vingine, mara nyingi baada ya miezi sita.
mwisho; wakati mwingine mama anaweza asipate nafuu pamoja nakutumia dawa zote, huenda sababu ya vyanzo vingine ambavyo vinakua nje ya matibabu kama historia ya upasuaji wa matiti na kadhalika hivyo anaweza kutumia maziwa mbadala ya lactogen au maziwa ya ng'ombe .

Kwa miaka mingi imekua ikifahamika kwamba kuosha sehemu za siri baada ya tendo la ndoa kuna zuia magonjwa ya zinaa kama kaswende, pangusa na mengine ambayo huambukizwa kwa tendo la ndoa, hii imekua ni kweli kwasababu magonjwa ya aina hiyo huhitaji muda wa kutosha kuweza kuanzisha makoloni yao sehemu za siri ili kuleta ugonjwa.
hivyo maji maji yenye ugonjwa huo yakishaoshwa yanasimamisha mfumo mzima wa kuanzisha ugonjwa husika.



Lakini hii imeonekana ni tofauti linapokuja swala la virusi vya  ukimwi kwani kuosha sehemu za siri hasa kwa wanawake na wanaume ambao hawajatahiriwa kumeonekana kuongeza maambukizi badala ya kupunguza.
Utafiti huu ulifanyika nchini Uganda ulichukua wanaume ambao hawajatahiriwa ambao wanatabia hiyo kisha kuchukua wanaume ambao hawana tabia hiyo na kuwafuatilia kwa muda Fulani( cohort studies) na majibu yakionyesha kuongezeka kwa maambukizi kwa 2.3% kwa wale wenye tabia ya kuosha uume wao muda mfupi tu baada ya tendo la ndoa.
Lakini utafiti mwingine ulifanyika nchini kenya kwa muda wa miaka kumi kwa wanawake 1270 na majibu yalionyesha kuongezeka kwa maambukizi ya ukimwi kwa asilimia 2.6% kwa wale walio osha sehemu zao za siri pale pale ukilinganisha na wale waliochelewa na kuosha baada ya dakika kumi mpaka 20.

je chanzo cha maambukizi haya ni nini?
Hakuna majibu ya uhakika wa swali hili lakini wataalamu wamekuja na ababu ambazo huenda ndio zinachangia kutokea kwa jambo hili kama ifuatavyo.
kuongeza ukali wa virusi; sehemu za siri za mwanamke zina maji maji ambayo yana tindikali ambayo kazi yake ni kuua wadudu ambao wanaingia ndani ya uke, sasa ukimwaga maji pale ile tidikali inaishiwa nguvu na kuwapa virusi wale nguvu.
kuongeza michubuko; baadhi ya watu huosha na sabuni au dawa mbalimbali,yale maumivu kidogo unayosikai baada ya kumwaga maji au kupaka sabuni ni kuongezeka kwa michubuko ambayo inatoa nafasi zaidi kwa virusi vya ukimwi kufanya mashambulizi.
kuvipa virusi uwezo wa kuishi na kusafiri; kwa kawaida virusi huishiwa nguvu au kufa pale maji maji yanayovizunguka yanapokauka, kuosha na maji na kuongeza maji maji na kuvihamisha sehemu zingine za sehemu za siri ambazo huenda zina michubuko Zaidi.
mwisho;Kwa lugha nyingine sio vizuri kuosha sehemu za siri muda mfupi tu baada ya tendo la ndoa, jipe muda wa kutosha kitandani na mtu wako kama dakika 10 au 20 ukiwa umepumzika au unafanya mambo mengine kisha unaweza kwenda kunawa.

1.1 PAIN
Pain is the most common symptom of disease. It is an unpleasant sensation or emotional experience
associated with actual or potential tissue damage. Any pain of moderate or higher intensity is
accompanied by anxiety and the urge to escape or terminate the feeling.
Diagnostic criteria
Self-report is the key to pain assessment. In non- or pre verbal children, facial expression is the most valid
indicator of pain; therefore use faces pain scale to assess severity. Pain should be assessed by:
Duration
Severity, e.g. does the patient wake up because of the pain
Site
Character, e.g. stabbing, throbbing, crushing, cramp like
Persistent or intermittent
Relieving or aggravating factors
Accompanying symptoms
Distribution of pain
In children pain can be assessed by Childs’ crying voice, posture, movement and colour
1.1.1 HEADACHE
1.1.1.1 Acute Headache
Diagnostic criteria
Secondary to fever and infection diseases
Secondary to local inflammatory cause
For further actions refer to fever, eye, ear and oral sections.
Pharmacological Treatment
A: Paracetamol oral 1g every 8 hours for at least 3 days
OR
A: Ibuprofen, oral 400mg 8 hourly for at least 3 days
Children A: Paracetamol 15 mg/kg/dose 6 hourly when required to a maximum of 4 doses per
24 hours
If there is no relief to paracetamol give:
A: Ibuprofen oral, 5-10mg/kg/dose 8 hourly
Note: Ibuprofen shall be given with food

Chronic Headache
Diagnostic criteria
Migraine
Cluster headache
Tension headache
Pharmacological Treatment:
Migraine
In acute attack give analgesics:
A: Paracetamol 1g immediately then every 4 hours; maximum dose 4g per day
2
OR
A: 
Acetylsalicylic acid 600mg 6 hourly.
AND
C: 
Metoclopramide (PO) 10mg 8 hourly.
OR
C: Metoclopramide IV 10mg 8hourly
In severe attack give:
C: Ergotamine tartrate 2mg 12 hourly. Not to be repeated at intervals less than 4 days.
For prevention purposes give
:
A: 
Propranolol 40-80mg 12 hourly
OR
A: 
Amitriptyline 10-50mg at night
Cluster and T
ension headache: Give analgesics as in acute headache (section 1.1.1)
1.1.2 CHEST PAIN
Differential diagnoses
Angina
Myocardial infections
Reflux Esophagitis
Lung infection
Pericarditis
Non-Pharmacological and Pharmacological Treatments
Treat as for main disease as indicated in specific chapters.
1.1.3 ABDOMINAL PAIN
1.1.3.1 Upper Abdominal Pain
Differential diagnoses
Pain related to eating food:
Dyspepsia
Gastritis
Pain related to eating food but persisted for more than three months
Peptic ulcers
Acute and recurrent pain in upper quadrant
Gallbladder diseases
Inflammatory bowel syndrome
Chronic pancreatitis
Diabetic autonomic neuropathy
Non-Pharmacological and Pharmacological Treatments
Treat as for main diseases
1.1 3.2 Lower Abdominal Pain
Diagnostic Criteria
Pain associated with diarrhoea or constipations
Intestinal involvement
Helminthes
Colicky pain in abdomen without diarrhoea or constipation

3
Colitis
Pain just before or during menstruation
Dysmenorrhoea
Endometriosis
Pain over lower abdomen and back associated with excessive white discharge in women
Pelvic inflammatory diseases
Pain during urination
Urinary tract infections (UTI)
Non Pharmacological and Pharmacological Treatments
Treat as for main disease as indicated in specific chapters
1.1.4 OTHER PAINS
Other pains may include:
Generalized body ache
Joint pain
Pain due to local infections
Pains due to injury
Eye pains
Ear pains
Non-Pharmacological and Pharmacological Treatments
For generalized pain give analgesics as in section 1.1.1. Advise the patient to rest and make a follow-up.
For joint, infections, injury, eye and ear pains treat as for main disease.
CAUTION: Do not use aspirin for abdominal pain or if a patient is vomiting or has nausea and do not use aspirin in children. Patients
with peptic ulcers should not be given acetic salicylic acid tablet.

Referral:
Refer patients to Regional and Tertiary care for:
Children with moderate and acute severe pain
No response to oral pain control
Uncertain diagnosis
All acute abdominal pain accompanied by vomiting and no passing of stool
Pain requiring definitive treatment for the underlying disease
Pain requiring strong opioids

Imarisha misuli ya uume wako na kupunguza tatizo la kumaliza mapema kwa kutumia mazoezi madogo tu (Improve your Penis function by doing simple exercises)


Kumaliza mapema (Premature ejaculation) wakati wa tendo la ndoa ni tatizo linalowakumba wanaume wengi hivi sasa, Ingawaje dawa za aina mbalimbali zimekua zikitumika kutibu tatizo hili imeonekana kwamba bado tatizo hili linazidi kuongezeka kila kukicha. Tatizo hili limekua likichangiwa na mambo mengi sana, ikiwemo yafuatayo;
  • Mwenendo wa maisha wa hivi sasa yaani watu wengi wanakula vyakula visivyokua na virutubisho kamili.
  • Matatizo ya kiafya ya muhusika
  • Na sababu nyinginezo nyingi
Kama nivyokwishakusema hapo mwanzo kwamba sababu za tatizo hili ziko nyingi sana, hivyo basi inatakiwa tusuruhishe swala hili kwa kutibu mzizi wa tatizo. 

Mbali na sababu za kiafya na zinginezo Mfumo wa uzazi wa mwanamume una misuli ya uume iliyoanzia eneo la mifupa ya kiuno (Pelvic bone), misuli hiyo ndiyo kiini cha tatizo hili (Kumaliza mapema). Nikupe mfano mmoja; Chukua picha ya watu wanaoinua vitu vizito, watu hawa wanaongeza ukubwa wa misuli yao kwa kufanya mazoezi ya viungo. Je, unaweza kuongeza ukubwa na ukakamavu wa misuli kwa kunywa dawa?? Lahasha ni jambo lisilowezekana, bali kwa kufanya mazoezi ya viungo.

Kwa kutumia mfano wa hapo juu nikurudishe kwenye kipengele cha misuli ya uume, Misuli ya uume haina tofauti na misuli mingine ya mwili, mfumo wake ni uleule. Tatizo la wanaume wengi kumaliza mapema inasababishwa na kusinyaa kwa misuli hiyo (Pelvic muscle). Tazama picha hapo chini inayoonyesha misuli hiyo;


Picha: Kwa hisani ya mtandao

Misuli ya uume ikiimalika Mwanaume hamalizi mapema pia anakua na uwezo wa kusimamisha vizuri uume wake na unakua kakamavu sio legevu.

JINSI YA KUITAMBUA MISULI YA UUME (PELVIC FLOOR MUSCLE)
Misuli hii ya uume (Pelvic floor muscle) ipo mwanzoni kabisa mwa shina la misuli ya uume. Namna ya kuitambua misuli hii fanya ifuatavyo;

Nikuulize swali moja kidogoUmeshawahi kubana mkojo?? Pengine upo maeneo ya hafla, darasani, ofisini, mpirani, kwenye gari ama safarini au sehemu ambayo unataka usipitwe na mada inayozungumziwa. Katika mazingira haya watu wengi wanajikuta wakibana mkojo kwa muda Fulani ili wamalizie uhondo wa mada Fulani au tukio fuani pengine yupo safarini na anajitahidi abane mkojo ili akojoe atakapofika.

Au ukiwa unakojoa maeneo Fulani yasiyo rasmi, pengine wakapita maofisa polisi ama migambo unajikuta unakatisha mkojo, Hivyo basi ile hali ya kubana au kukatisha mkojo unatumia misuli hiyo ya uume (Pelvic muscle), ndio breki ya mkojo.

Misuli hii ya uume ipo chini ya maungo ya mapaja katikati ya korodani na sehemu ya haja kubwa, mara nyingi sehemu hii ukiguswa au kutomaswa kwa kidole utaona uume unashtuka. Uuume unashtuka Zaidi ukiwa umesimama. 

Ndio maana wale watu wanaoingiliwa kinyume cha maumbile (Mashoga) wanaharibiwa misuli hii baadae mtu huyu (Shoga) anakuwa hana uwezo wa kusimamisha uume. Hivyo basi misuli hii ina kazi kubwa sana ya kuimarisha ukakamavu wa uume wako.

Hivyo basi misuli hii (Pelvic floor muscle) ndiyo inayotakiwa ifanyiwe mazoezi, sehemu hii ikiwa kakamavu uume unasimama vizuri na utaacha kumaliza mapema (Premature ejaculation).


NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA MISULI YA UUME (PELVIC FLOOR MUSCLE EXERCISE/KEGEL EXERCISES)
Kama nilivyoeleza mwanzoni kwamba kiini cha mazoezi haya ni misuli ya uume, Hivyo ile hali ya kubana mkojo ndio zoezi lenyewe. Sio kwamba ubane mkojo, Lahasha inatakiwa uwe kama unabana mkojo wakati huna hamu ya kukojoa. Fanya hivyo kwa nguvu kwa sekunde 3 alafu utaachia, pia utafanya tena kwa sekunde 3, Vilevile utaachia tena afu utafanya tena. Unaweza kuendelea hadi sekunde 5, 10 na 30 kadiri utakavyokua unaweza. Fanya zoezi hili wakati wowote uupendao haijalishi uume umelala au umesimama, Pia ukifanya zoezi hili wakati uume wako umesimama itakua bora zaidi na misuri yako itakazika vizuri.

Uendelee na zoezi hilo mara nyingi kadri uwezavyo, ukizoea utaweza kufanya zoezi hili kwa muda mrefu zaidi na sehemu yoyote ukiwa unatembea, ukiwa umekaa, kwenye gari na sehemu yoyote ile. Uzuri wa zoezi hili unaweza kufanya sehemu yoyote pasipo watu kujua.


Natural Vitamins to increase Body Immunity

These 3 Natural Vitamins to increase Body Immunity

There is an old saying in English, whose Hindi translation is like, 'If you eat an apple a day, then stay away from the doctors'. This thing is quite true because apple has many elements that increase your immunity-resistant ability. If your immune system is good, then you survive from all kinds of diseases because most of the diseases in the body cause viruses and bacteria. Your immune system protects you from these bacteria and viruses. There are many such vitamins, which increase your immune system. Let's tell you who are those vitamins and what are those natural sources of vitamins.

Vitamin C

https://afyatrust.blogspot.com

Vitamin C is also called immunity booster vitamin. Vitamin C deficiency in the body increases the risk of many diseases. Vitamin C is known as bicarbonate acid, which is considered to be the best antioxidant. Glutathione contains vitamins containing substances that protects us from arterial diseases. By taking this, tissue builds in the body better, and the tissue that remains is available to connect with one another. In addition, Vitamin C prevents the destruction of cells.

Natural sources of Vitamin C

Vitamin C is rich in all citrus fruits like lemon, orange, amla, seasonal, grapes, tangrias, strawberries etc. Apart from this, vitamin C is also found in broccoli, capsicum, capsicum, spinach and oceanic diets. In a small lemon, up to 29.1 milligrams, a small orange contains about 51.1 milligrams and vitamin grams up to 445 milligrams in 100 gram pieces.

Vitamin B6

https://afyatrust.blogspot.com

Vitamin B6 also increases the body's immune system. Vitamin B6 supports biochemical reactions in the body, helping immune systemswork. Vitamin B6 is soluble in water and is beneficial in many diseases related to heart, skin and nervous system. This vitamin also provides relief from depression and lethargy. Vitamin B6 is also very important for the control of hormones in the body. Its deficiency increases the risk of diseases like many types of emotional disorders, heart diseases, kidney disease, multiple sclerosis, anemia, arthritis and influenza.

Natural sources of Vitamin B6

Most vitamins and nutrients meet us through diet. The best source of vitamin B6 is whole grains like wheat, millet, barley, corn, peas, green beans, walnuts etc. In non-vegetarian people this lack of vitamin is seen low because fish, eggs, chicken, mutton etc. are a good source of vitamin B6. Vegetarians can also find these vitamins easily with bananas, soy beans, carrots and green vegetables, besides cereals and dry fruits.

Vitamin E


Vitamins to increase Body Immunity
Vitamin E works like a powerful antioxidant, which enhances the body's ability to fight diseases and infections. Vitamin E is very important to increase the skin low and hair growth. Therefore, dietary vitamins should definitely be consumed.

Natural sources of Vitamin E

Vitamin E is found in vegetable oil. Apart from this, wheat, green greens, gram, barley, dates, rice grams, butter, cream, sugarcane, sprouted grains and fruits are found.
..............................................

MKANDA WA JESHI

Kwa takribani miongo mitatu sasa, tumeshuhudia ongezeko kubwa la mlipuko wa ugonjwa wa mkanda wa jeshi linaloendana na ongezeko la hususani ugonjwa wa UKIMWI. Hali hii imefanya baadhi ya watu kuamini kuwa, ugonjwa huu ni dalili ya wazi kabisa ya mtu kuwa na VVU, imani ambayo kwa kiasi kikubwa ina ukweli ndani yake ingawa si kwa wote wanaopatwa nao.
Mkanda wa jeshi au shingles au herpes zoster kwa majina ya kitabibu ni ugonjwa unaosababishwa na virus wa aina ya Varicella-zoster ambao pia husababisha ugonjwa wa tetekuwanga au chickenpox. Ugonjwa huu huathiri ngozi ambapo huambatana na vipele na michubuko kama ya kuungua yenye kuambatana na maumivu makali.

Visababishi

Kama tulivyokwisha tangulia kueleza hapo juu, ugonjwa huu husababishwa na virus aina ya Varicella-zoster ambao pia husababisha ugonjwa wa tetekuwanga. Baada ya mtu kupatwa na tetekuwanga, virus hawa hubaki katika hali ya kupooza/kutokuwa na madhara (dormant) katika neva fulani za mwili. Baada ya miaka kadhaa, iwapo itatokea kinga ya mwili ikashuka kwa sababu yoyote ile, virus hawa hupata tena nguvu/kuwa na madhara (active), kuibuka na kusababisha ugonjwa wa mkanda wa jeshi.

Kwa kawaida shambulio la mkanda wa jeshi hutokea mara moja maishani ingawa laweza kujirudia.

Vihatarishi

Mkanda wa jeshi unaweza kumpata mtu wa umri wowote ule ingawa watu walio katika makundi haya wapo katika hatari kubwa zaidi:
• Wenye umri wa zaidi ya miaka 60
• Mtu aliyewahi kuugua ugonjwa wa tetekuwanga kabla ya umri wa mwaka mmoja
• Watu ambao kinga yao ya mwili imepungua kwa sababu mbalimbali kama vile matumizi ya aina fulan za dawa, magonjwa kama vile maambukizi ya VVU (HIV/AIDS), saratani na utapiamlo.

Je mkanda wa jeshi unaambukizwa?

Hapana ugonjwa huu hauambukizwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine! Lakini iwapo itatokea mtoto au mtu mzima ambaye hajawahi kupatwa na ugonjwa wa tetekuwanga maishani mwake na ambaye pia hajawahi kupata chanjo dhidi ya ugonjwa huo akakutana na mtu mwenye ugonjwa wa mkanda wa jeshi, mtoto au mtu huyo atapatwa na ugonjwa tetekuwanga na siyo mkanda wa jeshi.

Dalili

Dalili ya awali kabisa ya mkanda wa jeshi ni maumivu makali sehemu fulani/ upande mmoja wa mwili yakiambatana na hali ya ganzi na hisia za kuungua kwenye ngozi. Maumivu pamoja na hisia za kuungua huwa makali sana na hutokea kabla ya vipele/michubuko kutokea kwenye ngozi. 
Kawaida, vipele au michubuko huusisha eneo fulani la mwili kuanzia kwenye uti wa mgongo kuzunguka kuelekea eneo la tumbo au kifua. Michubuko pia inaweza kutokea kwenye maeneo yanayozunguka uso, macho, mdomo au masikio.
Dalili nyingine ni pamoja na
• Maumivu ya tumbo 
• Homa 
• Maumivu ya mwili mzima 
• Vidonda sehemu za siri 
• Maumivu ya kichwa 
• Maumivu ya viungo 
• Kuvimba kwa mitoki/ matezi 
Iwapo neva za maeneo ya uso zitaathiriwa, mgonjwa anaweza kupatwa na matatizo ya kuona, kuonja, au kusikia.

Vipimo

Ni nadra sana kufanya Vipimo maalum kwa ajili ya utambuzi wa ugonjwa huu, isipokuwa kwa nchi zilizoendelea. Kwa ujumla utambuzi wa ugonjwa huu hufanyika kwa kuchukua historia ya mgonjwa na kuchunguza sehemu ya ngozi iliyoathiriwa. 
Vipimo vya damu yaani FBP huonesha ongezeko la chembe nyeupe za damu na antibodies dhidi ya virus wa tetekuwanga.

Matibabu

Matibabu ya mkanda wa jeshi hujumuisha matumizi ya dawa kama vile Acyclovir, Famciclovir na Valacyclovir kwa ajili ya kuua virus wanaosababisha ugonwja huu. Dawa hizi husaidia kupunguza maumivu, kuzuia madhara zaidi ya ugonjwa huu na kupunguza muda wa ugonjwa.
Dawa hizi hutolewa angalau saa 72 baada ya mgonjwa kuanza kuhisi maumivu na hali ya kuungua. Ni vema dawa zianze kutumika kabla ya vipele/michubuko kujitokeza.
Jamii ya dawa za corticosteroids kama vile prednisolone husaidia kupunguza maumivu na uvimbe kwa badhi ya wagonjwa. Dawa nyingine zinazofaa kutumika ni pamoja na jamii ya antihistamines kwa ajili ya kupunguza muwasho, dawa za maumivu, calamine lotion kwa ajili ya kupunguza muwasho. Aidha mgonjwa anashauriwa kupata mapumziko ya kutosha

Matarajio

Mkanda wa jeshi kwa kawaida huchukua kati ya wiki mbili hadi tatu kupona wenyewe. Aidha ni nadra sana kwa ugonjwa huu kujirudia tena. Iwapo neva zinazothibiti mwendo katika mwili zitakuwa zimeathirika, mgonjwa anaweza kupatwa na kupooza kwa muda au kwa kudumu kwa sehemu ya mwili iliyoathiriwa. Wakati mwingine, maumivu yanayosababishwa na mkanda wa jeshi yanaweza kudumu kwa miezi mpaka mwaka hata baada ya mgonjwa kupona kabisa. Maumivu haya yanayojulikana kama postherpetic neuralgia kwa kawaida huwakumba wagonjwa wenye umri wa zaidi ya miaka 60 na husababishwa na uharibifu katika neva za mwili.

Madhara

Madhara ya mkanda wa jeshi ni pamoja na kupatwa na shambulio jingine la ugonjwa huu, maambukizi ya bakteria, upofu iwapo eneo la jicho litahusika, ukiziwi, maambukizi katika utando wa ubongo (encephalitis), uwepo wa vimelea kwenye damu (sepsis) au ugonjwa unaoitwa Ramsay Hunt Syndrome iwapo utahusisha neva za uso.

Kinga

Epuka kabisa kugusa eneo lenye vipele au michubuko kwa mtu mwenye mkanda wa jeshi au tetekuwanga iwapo hujawahi kuugua au kupata chanjo ya tetekuwanga. 
Ni vema kupata chanjo dhidi ya virus wa Varicella zoster kama inapatikana katika nchi au eneo ulilopo. Tafiti zimeonesha kuwa, watu wazima wanaopata chanjo hii wana uwezekano mdogo sana wa kupata madhara ya mkanda wa jeshi kuliko wale wasiochanjwa

MKRdezign

{facebook#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {twitter#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {google-plus#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL}

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget