PUMU YA NGOZI(ECZEMA) KWA WATOTO UKAVU WA NGOZI,KUWASHWA NGOZI
Eczema (atopic dermatitis) ni ugonjwa wa ngozi ,unaofanya ngozi kuwasha sana kuwa kavu na kupata vijipele vidogo vidogo vyenye rangi nyekundu,huu ugonjwa ushambulia watoto na wakubwa sehemu za viungo vya mwili (joints) mkononi
Shingoni na miguuni na inaweza tokezea sehemu ya usoni ,juu ya jicho ,makwapani,mgongoni ,tumboni ,mbele ya kichwa (forehead),mapajani,mdomoni na mashavuni. Watoto walio chini ya miaka 5 huwa adhiri kwa asilimia 15% unaweza chukua mda kupona kulingana na ngozi na kiasi cha mtoto alivyoadhirika.
Chanzo cha ugonjwa wa eczema
Eczema inasababishwa na mwili kushindwa kutengeneza au kuzalisha ceramider ,ceramider ni fatty cell inayotumika kwenye uzalishwaji wa ngozi,ceramider inaposhindwa kuzalishwa ngozi ya mtoto inapoteza kiwango cha maji na kuifanya kuwa kavu na ndipo inapo msababishia kuanza kujikuna ,ngozi kuwa kavu na kubadilika rangi kuwa nyekundu.
Eczema ni ugonjwa wa kuridhi -toka kwa mama / baba aliekuwa na ugonjwa ni rahisi mtoto akaridhi.
Mzingo(Allergy au asthma)na pumu huleta eczema
Mtoto anaweza pata allergy ya vyakula tofauti kama maziwa,mayai,ngano,soya samaki,nyaman.k na baadae kumpelekea kupata eczema.
Nini kinachochea kutokupona eczema haraka kwa mtoto
Mtoto mwenye tatizo la eczema anatakiwa aepushwe
Ngozi kuwa kavu (dry skin)-epuka ngozi ya mtoto kuwa kavu itasababisha kuwa na low humidity na kujikuna sana .
Joto kali-joto linapokuwa kali inamsababisha mtoto kujikuna zaidi ,usimveshe mtoto nguo nyingi kipindi cha joto itamfanya ajikune sana .
Food allergy-kuna baadhi ya vyakula vyenye kuleta allergy inatakiwa asipewe kama maziwa,mtindi,mayai,cheese ,nuts(karanga,korosho nk)mikate,pweza,kamba
Acid fruits-matunda ya acid asitumie ndimu ,machungwa,nyanya,strawbell
Acha kutumia vitu vya harufu kali kama sabuni ,perfumes ,majani,na mafuta kwenye mwili wake na nguo zake
Kuogeshwa kwa mda mrefu-epuka kumwogesha kwa mda mrefu au kukaa ndani ya maji isizidi dakika 10 maji yana sababisha ngozi kuwa kavu zaidi,atumie maji vugu vugu wakati wa kumwogesha tumia sabuni ya (sensitive skin) isiyo na harufu na usitumie shampoo
Nguo za kumbana-usimveshe nguo za kumbana au zenye material ya synthetic fabric, wool, ,mveshe nguo za kupwaya ziwe material ya cotton inamfanya ajisikie vizuri bila miwasho.
Nguo mpya-nguo mpya inamfanya ajikune zaidi ,kabla ujamvesha fua kwanza.
Sabuni ya kufulia nguo -nayo inaweza msabishia kuwashwa zaidi ,fatilia kila ufuapo kama ukimvesha izo nguo na kuwashwa sana ujue iyo sabuni haimfai
Kucha kuwa ndefu-zitamkwarua na kujikuna sana kuharibu ngozi zaidi ,hakikisha kucha zake ni fupi kila mara.
Kutompa daily products zozote zitokanaza na ng’ombe au kuku (maziwa,mtindi,mayai,cheesen.k)
Vizuri umpeleke hospital Kupima allergy ili ujue , kama anayo ni rahisi kumwachisha kumpa vyakula vinavyompa allergy mapema kabla hajawa eczema.
Tiba
Eczema kutibika kwa haraka ni ngumu ,kuna dawa za kupaka na ikapunguza muwasho, fatilia masharti hayo nilioandika hapo juu na kula matunda na mboga mboga kwa wingi
Yanayoweza tibu au punguza eczema kwa kiasi kama parachichi ,ndizi mbivu, papai,apple,juice ya carrots ,tango,aloe vera,spinanch ,viazi vitamu,viazi ulaya,smoothie ya tango,parsley.Broccoli na tangawizi unaweza saga pamoja na kumpa mtoto ila kwa wale walio juu ya miezi 6 na kuendelea.
Samaki wa maji baridi kama salmon wanafaa zaidi wana omega 3 ya kutosha.Mwepushe mtoto kula fast food zinachochea ugonjwa kuongezeka
Tiba ya kutibu haya Maradhi ipo kwamtu mwenye kutaka unaweza kunitafuta kwa wakati wako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukinihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172