Eczema (atopic dermatitis) ni ugonjwa wa ngozi ,unaofanya ngozi kuwasha sana kuwa kavu na kupata vijipele vidogo vidogo vyenye rangi nyekundu,huu ugonjwa ushambulia watoto na wakubwa sehemu za ...Read more »
Na. Catherine Sungura,WAMJW-Tabora
Imeelezwa kuwa kuboreshwa kwa miundombinu imesaidia kwa kiasi kikubwa huduma ya damu salama kwenye Kanda ya Magharibi ambayo inahudumia mikoa ya ...Read more »
Na. WAMJW-Singida
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewakumbusha wauguzi wote nchini kuhakikisha wanajiendeleza kielimu, ili baadae wawe na maarifa zaidi ambayo ya...Read more »
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi
Na.WAMJW-Dodoma
Mganga Mkuu wa Serikali Prof.Abel Makubi amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi wa taasisi, vyuo vya afya, na waganga wafaw...Read more »
Mganga Mkuu wa Serikali wa Serikali Prof. Abel Makubi
Na. WAMJW-Dodoma
Wanataaluma wote wa sekta ya afya nchini wametakiwa wawe wamejisajili, na kuhuisha leseni kwenye mabaraza yao ya kitaalam nd...Read more »
Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Leonard Subi
Na Gerard Chami - WAMJW, Arusha.
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya ...Read more »
KATIBU MKUU Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto - Idara Kuu ya Afya Prof. Mabula Mchembe akisema jambo kwa wadau (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa Siku ya Tiba ya...Read more »